Je malaika wapo?

Mwandishi: 
Pasi Palmu
Mtafsiri: 
Richard Ondicho Otiso

Ndio wapo. Uumbaji wa Mungu kwa hakika hauzuiliwi na huu ulimwengu unaonekana kama kiburi cha mwanadamu kinavyofikiriwa, hatuwezi kuthibiti uumbaji wa Mungu. Ulimwengu wa Mungu ni mwingi zaidi ya mengi rangi na za kushangaza zaidi ya sisi na zaidi ya sayansi yetu inavyoweza kuchunguza.

Malaika hapana hata hivyo katika mtazamo wa Ukristo wakati unasoma injili utaona kwamba malaika waliunganishwa katika matukio muhimu ndani ya maisha ya Yesu. Pia wanaitwa “Roho ziokoazo” hivyo hutimiza kazi ya uenezi ambao Mungu aliwapa wao hapa duniani juu ya yote walihudumu katika kusudio la kuokoa Roho.

“Hao wote si roho watumikao wakitumwa kuhudumia wale watakaorithi wokovu?"
(Waebrania 1:14, SUV)